iqna

IQNA

IQNA – Mamlaka ya utawala wa Kizayuni iliweka kufuli katika milango ya Msikiti wa Ibrahimi ulioko katika mji wa Al-Khalil (Hebron), kusini mwa Ukingo wa Magharibi, siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3480513    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/04/08

Jinai za Israel
IQNA – Vikosi vya utawala vamizi wa Israel vilizuia wito wa sala kusikika katika Msikiti wa Ibrahim mara 48 mwezi Desemba, Wizara ya Misaada na Masuala ya Kidini Palestina ilifichua jana.
Habari ID: 3479999    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/03

Jinai za Israel
IQNA - Vikosi vya utawala ghasibu wa vimemvamia Sheikh Moataz Abu Sneineh, mkurugenzi wa Msikiti wa Ibrahim, katika kizuizi cha kijeshi huko al-Khalil (Hebron), na kumuacha akiwa amejeruhiwa na kumnyima msaada wa matibabu
Habari ID: 3479987    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/01/01

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA) - Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imelaani uamuzi wa utawala ghasibu wa Israel kuwazuia Waislamu kuingia katika Msikiti wa Nabii Ibrahim (AS) katika mji unaokaliwa kwa mabavu wa Al Khali (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
Habari ID: 3475925    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/13